Kwa viwango hivi vya FIFA!!
Kwa mujibu wa viwango vipya vya FIFA vilivyotangazwa leo tarehe 23 Novemba, 2017 vinavyotoa taswira ya kuelekea Fainali za Kombe la Dunia 2018 nichini Urusi (Kwa Dk. Shika) Afrika licha ya kusuasua kwa nchi zake kushiriki; Afika bado ina kazi kubwa ya kujinasua katika nafasi za chini za orodha yake katika ubora wa Dunia.
Orodha ya nchi za Afrika katika 10 Bora Afrika na nafasi zao katika kidunia na nafasi zao kidunia kwenye mabano ni ifiatavyo:-
1. Senegal (23)
2. Tunisia (27)
3. Misri (31)
4. DR. Congo (36)
5. Morocco (40)
6. Bukinafaso (44)
7. Comeroon (45)
8. Nigeria (50)
9. Ghana (51)
10. Ivory Coast (61)
Tanzania imepanda kwa nafasi moja katika viwango kwa nafasi ya 158
AFRIKA NA VIWANGO VIPYA VYA FIFA
Reviewed by Unknown
on
November 23, 2017
Rating:
![AFRIKA NA VIWANGO VIPYA VYA FIFA](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3VkXx67t9sJvxok-PqPZckzGox35s6S7UC-f6AFAMn8gebM7p88lvYK_dmCZMTimftlp0Lt6zZKMbT5YWIyqm2ek_ya0iwpJlEDyJFDd8B478hjQ7nUPFXWaDKTlt9jtuWEPR3zHhDyGs/s72-c/fifa.jpg)
No comments: